Current Issue

Juz. 85, Na. 2
View All Issues

******************

Kiswahili ni Jarida linalojadili na kuendeleza masuala yanayohusiana na lugha, isimu na fasihi ya Kiswahili. Jarida hili linachapishwa na Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Jarida la Kiswahili linachapisha makala zinazopitiwa na wasomaji-fiche. Lengo kuu la Jarida ni kukusanya na kusambaza tafiti mbalimbali na mijadala kuhusu lugha, isimu na fasihi ya Kiswahili.